8 Na sasa kwa muda kidogo kibali+ kutoka kwa Yehova Mungu wetu kimekuja kwa kutuachia wale walioponyoka+ na kwa kutupa sisi kigingi katika mahali pake patakatifu, kufanya macho yetu yang’ae,+ Ee Mungu wetu, na kutuamsha kidogo kutoka katika utumwa wetu.+