8 Lakini sasa kwa muda mfupi, Yehova Mungu wetu ametuonyesha kibali kwa kuruhusu baadhi yetu tuponyoke na kutupatia sehemu salama mahali pake patakatifu,+ ili kuyafanya macho yetu yang’ae, Ee Mungu wetu, na kutupumzisha kidogo kutoka katika utumwa wetu.