Nehemia 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+ Zaburi 138:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata nikitembea katikati ya hatari, utanihifadhi hai.+ Unaunyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya maadui wangu;Mkono wako wa kuume utaniokoa.
31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+
7 Hata nikitembea katikati ya hatari, utanihifadhi hai.+ Unaunyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya maadui wangu;Mkono wako wa kuume utaniokoa.