Zaburi 136:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+
136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+