Zaburi 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ukumbuke rehema zako,+ Ee Yehova, na fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana ni za tangu wakati usio na kipimo.+ Zaburi 69:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+
6 Ukumbuke rehema zako,+ Ee Yehova, na fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana ni za tangu wakati usio na kipimo.+
16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+