Zaburi 136:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+
136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+