Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+ Zaburi 63:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa sababu fadhili zako zenye upendo ni bora kuliko uzima,+Midomo yangu mwenyewe itakusifu.+ Zaburi 109:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini wewe ni Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+Nitendee kwa ajili ya jina lako.+Kwa sababu fadhili zako zenye upendo ni njema, unikomboe.+
7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+
21 Lakini wewe ni Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu.+Nitendee kwa ajili ya jina lako.+Kwa sababu fadhili zako zenye upendo ni njema, unikomboe.+