Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+ Zaburi 69:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+ Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+
7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+
16 Unijibu, Ee Yehova, kwa maana fadhili zako zenye upendo ni njema.+Kulingana na wingi wa rehema zako ugeuke kunielekea,+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Na fadhili zenye upendo ni nyingi kwa wale wote wanaokuitia.+