Zaburi 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,Mbele ya wana wa binadamu.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+