Zaburi 126:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+“Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+ Isaya 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Yehova, utatuhukumia amani,+ kwa sababu umetenda kazi zetu zote kwa ajili yetu.+
2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+“Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+