4 Na kutoka zamani za kale hakuna aliyesikia,+ wala hakuna aliyetega sikio, wala hakuna jicho lililomwona Mungu, isipokuwa wewe,+ unayetenda kwa ajili ya mtu anayeendelea kumtarajia huyo.+
9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+