Zaburi 130:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+ Isaya 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+
9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+