Kutoka 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Mungu akaendelea kusema na Musa na kumwambia: “Mimi ni Yehova.+ Zaburi 97:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Milima ilianza kuyeyuka kama nta kwa sababu ya Yehova,+Kwa sababu ya Bwana wa dunia nzima.+ Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+
12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+