Zaburi 47:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova, Aliye Juu Zaidi, ni mwenye kuogopesha,+Mfalme mkuu juu ya dunia yote.+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+