Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.

  • Zaburi 68:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+

      Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+

      Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;

  • Isaya 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

  • Isaya 54:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa maana Mtengenezaji Mkuu+ wako ni mume wako,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake;+ na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Yeye ataitwa Mungu wa dunia yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki