Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao. Zaburi 68:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake; Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+ Isaya 54:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Mtengenezaji Mkuu+ wako ni mume wako,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake;+ na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Yeye ataitwa Mungu wa dunia yote.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.
4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;
8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
5 “Kwa maana Mtengenezaji Mkuu+ wako ni mume wako,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake;+ na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Yeye ataitwa Mungu wa dunia yote.+