Isaya 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+ Yeremia 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye aliye Fungu la Yakobo+ si kama vitu hivyo, kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa vitu vyote,+ na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+
2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+
16 Yeye aliye Fungu la Yakobo+ si kama vitu hivyo, kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa vitu vyote,+ na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+