Zaburi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu. Zaburi 73:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 119:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Yehova ni fungu langu;+Nimeahidi kuyashika maneno yako.+ Zaburi 142:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+
5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu.
26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+
5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+