Zaburi 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu. Zaburi 73:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeremia 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye aliye Fungu la Yakobo+ si kama vitu hivyo, kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa vitu vyote,+ na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+
5 Yehova ndiye sehemu ya fungu langu+ nililogawiwa na ya kikombe changu.+Wewe unaishika sana kura yangu.
26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+
16 Yeye aliye Fungu la Yakobo+ si kama vitu hivyo, kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa vitu vyote,+ na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+