Isaya 47:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kuna Yeye anayetukomboa.+ Yehova wa majeshi ni jina lake,+ Mtakatifu wa Israeli.”+ Yeremia 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Yeye aliye Fungu la Yakobo si kama vitu hivyo,+ kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa kila kitu,+ fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.”+
19 “Yeye aliye Fungu la Yakobo si kama vitu hivyo,+ kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa kila kitu,+ fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.”+