Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+ Yeremia 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye aliye Fungu la Yakobo+ si kama vitu hivyo, kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa vitu vyote,+ na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+
16 Yeye aliye Fungu la Yakobo+ si kama vitu hivyo, kwa maana yeye ndiye Mfanyizaji wa vitu vyote,+ na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+