Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+ Zaburi 74:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+ Zaburi 135:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yah amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe,+Israeli awe mali yake ya pekee.+
2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+