Zaburi 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Onjeni mwone ya kuwa Yehova ni mwema;+Mwenye furaha ni mwanamume ambaye humkimbilia.+ Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Zaburi 91:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+Mungu wangu, ambaye nitamtegemea.”+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+