Kumbukumbu la Torati 33:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+ Zaburi 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+ Zaburi 104:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yule anayejenga vyumba vyake vya juu kwa boriti katika maji,+Anayefanya mawingu kuwa gari lake,+Anayetembea juu ya mabawa ya upepo,+ Isaya 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tangazo juu ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu jepesi+ na anakuja kuingia Misri. Na miungu ya Misri isiyo na thamani hakika itatetemeka kwa sababu yake,+ na moyo wa Misri utayeyuka katikati yake.+
26 Hakuna aliye kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+Anayepanda juu ya mbingu ili kukusaidia+Na juu ya anga zenye kutanda mawingu katika adhama yake.+
10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+
3 Yule anayejenga vyumba vyake vya juu kwa boriti katika maji,+Anayefanya mawingu kuwa gari lake,+Anayetembea juu ya mabawa ya upepo,+ Isaya 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tangazo juu ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu jepesi+ na anakuja kuingia Misri. Na miungu ya Misri isiyo na thamani hakika itatetemeka kwa sababu yake,+ na moyo wa Misri utayeyuka katikati yake.+
19 Tangazo juu ya Misri:+ Tazama! Yehova amepanda juu ya wingu jepesi+ na anakuja kuingia Misri. Na miungu ya Misri isiyo na thamani hakika itatetemeka kwa sababu yake,+ na moyo wa Misri utayeyuka katikati yake.+