Zaburi 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+ Amosi 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “ ‘Yeye anayejenga ngazi zake huko mbinguni,+ na jengo lake juu ya dunia ambayo ameiwekea msingi;+ yeye anayeyaita maji ya bahari,+ ili ayamwage juu ya uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake.’+
11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+
6 “ ‘Yeye anayejenga ngazi zake huko mbinguni,+ na jengo lake juu ya dunia ambayo ameiwekea msingi;+ yeye anayeyaita maji ya bahari,+ ili ayamwage juu ya uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake.’+