Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Mungu akamwambia Musa tena:

      “Hivi ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu mpaka wakati usio na kipimo,+ na huo ndio ukumbusho wangu kwa kizazi baada ya kizazi.+

  • Yeremia 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:

  • Amosi 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana, tazama! Mfanyizaji wa milima+ na Muumba wa upepo,+ Yeye anayemwambia mtu wa udongo shughuli zake za akilini,+ Yeye anayefanya mapambazuko kuwa giza,+ na Yeye anayetembea mahali pa juu pa dunia,+ Yehova Mungu wa majeshi ndilo jina lake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki