Zaburi 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mpigieni Yehova muziki, enyi washikamanifu wake,+Utoleeni shukrani ukumbusho wake mtakatifu;+ Zaburi 102:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wewe, Ee Yehova, utakaa mpaka wakati usio na kipimo,+Na ukumbusho wako utakuwa kwa kizazi baada ya kizazi.+ Hosea 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Yehova Mungu wa majeshi,+ Yehova ni ukumbusho wake.+
12 Lakini wewe, Ee Yehova, utakaa mpaka wakati usio na kipimo,+Na ukumbusho wako utakuwa kwa kizazi baada ya kizazi.+