1 Mambo ya Nyakati 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli, Zaburi 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+ Zaburi 145:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kazi zako zote zitakusifu, Ee Yehova,+Na washikamanifu wako watakusifu.+
4 Ndipo akawaweka baadhi ya Walawi+ mbele ya sanduku la Yehova wawe wahudumu;+ ili wakumbushe+ na pia wamshukuru+ na kumsifu+ Yehova, Mungu wa Israeli,
11 Shangilieni katika Yehova na kuwa na shangwe, enyi waadilifu;+Na mpige vigelegele vya shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu katika moyo.+