Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+

      Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+

      Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+

  • Zaburi 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mpigieni Yehova muziki, enyi washikamanifu wake,+

      Utoleeni shukrani ukumbusho wake mtakatifu;+

  • Zaburi 132:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu,+

      Nao washikamanifu wako na wapige vigelegele kwa shangwe.+

  • Zaburi 149:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Washikamanifu na washangilie katika utukufu;

      Na wapige vigelegele kwa shangwe vitandani mwao.+

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

  • 1 Petro 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki