1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+ Zaburi 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mpigieni Yehova muziki, enyi washikamanifu wake,+Utoleeni shukrani ukumbusho wake mtakatifu;+ Zaburi 132:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu,+Nao washikamanifu wako na wapige vigelegele kwa shangwe.+ Zaburi 149:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Washikamanifu na washangilie katika utukufu;Na wapige vigelegele kwa shangwe vitandani mwao.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+ 1 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+
9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+