Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+ Sefania 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,
28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+
15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,