7 Ole wangu! Kwa maana siku ile ni kuu,+ hivi kwamba hakuna nyingine kama hiyo,+ na ni wakati wa taabu kwa Yakobo.+ Lakini yeye ataokolewa kutoka katika hiyo.”
25 “Pia, kutakuwa na ishara katika jua+ na mwezi na nyota, na juu ya dunia maumivu makali ya mataifa, bila kujua njia ya kutokea kwa sababu ya kunguruma kwa bahari+ na msukosuko+ wake,