11 Naye Yehova atatoa sauti yake+ mbele ya jeshi lake,+ kwa maana kambi yake ina watu wengi sana.+ Kwa maana yeye anayelitimiza neno lake ni mwenye nguvu; maana siku ya Yehova ni kuu+ na yenye kuogopesha sana, naye ni nani anayeweza kustahimili mbele yake?”+