7 Ole wangu! Kwa maana siku ile ni kuu,+ hivi kwamba hakuna nyingine kama hiyo,+ na ni wakati wa taabu kwa Yakobo.+ Lakini yeye ataokolewa kutoka katika hiyo.”
15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu, siku ya taabu na ya maumivu makali,+ siku ya dhoruba na ya ukiwa, siku ya giza na ya weusi,+ siku ya mawingu na ya weusi mzito,