Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, haimaanishi chochote kwenu nyote mnaopita njiani? Tazameni, mwone.+

      Je, kuna uchungu wowote ulio kama uchungu wangu ambao nimetendewa vikali,+

      Ambao Yehova ametumia kuleta huzuni katika siku ya hasira yake inayowaka?+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Mikaeli+ atasimama wakati huo, yule mkuu+ anayesimama+ kwa ajili ya wana wa watu wako.+ Na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo haijapata kutokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka wakati huo.+ Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mmoja anayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

  • Mathayo 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki