Maombolezo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Enyi nyote mnaopita njiani, mateso yangu kwenu si kitu? Tazameni mwone! Je, kuna maumivu kama maumivu niliyoletewa,Ambayo Yehova aliniletea katika siku ya hasira yake kali?+ Maombolezo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:12 w07 6/1 8 Maombolezo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:12 Mnara wa Mlinzi,6/1/2007, uku. 89/1/1988, uku. 26
12 Enyi nyote mnaopita njiani, mateso yangu kwenu si kitu? Tazameni mwone! Je, kuna maumivu kama maumivu niliyoletewa,Ambayo Yehova aliniletea katika siku ya hasira yake kali?+