Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+

  • Mathayo 24:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo ishara ya Mwana wa binadamu+ itakapoonekana mbinguni, ndipo makabila yote ya dunia yatakapojipiga-piga yenyewe kwa kuomboleza,+ nayo yatamwona Mwana wa binadamu akija juu ya mawingu ya mbinguni akiwa na nguvu na utukufu mwingi.+

  • Waebrania 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 tangu wakati huo na kuendelea akingojea mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+

  • Ufunuo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na vita vikatokea ghafula mbinguni: Mikaeli+ na malaika zake wakapigana na yule joka mkubwa, naye joka mkubwa na malaika zake wakapigana

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki