Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo yeye akasema: “Hapana, lakini mimi—nikiwa mkuu wa jeshi la Yehova nimekuja sasa.”+ Basi Yoshua akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kumwambia: “Bwana wangu anamwambia nini mtumishi wake?”

  • Isaya 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+

  • Ezekieli 34:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na mimi mwenyewe, Yehova, nitakuwa Mungu wao,+ na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu katikati yao.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.

  • Danieli 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hata hivyo, nitakuambia mambo yaliyoandikwa katika maandishi ya kweli,+ wala hakuna yeyote anayenitegemeza kwa nguvu katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ yule mkuu wenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki