Yeremia 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ole wangu! Kwa maana siku ile ni kuu,+ hivi kwamba hakuna nyingine kama hiyo,+ na ni wakati wa taabu kwa Yakobo.+ Lakini yeye ataokolewa kutoka katika hiyo.” Yoeli 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ole wake siku ile;+ kwa sababu siku ya Yehova iko karibu,+ nayo itakuja kama mporaji kutoka kwa Mweza-Yote! Amosi 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo hayo ndiyo nitakayokutendea, Ee Israeli. Kwa sababu nitakutendea mambo hayo, jitayarishe kukutana na Mungu wako,+ Ee Israeli.
7 Ole wangu! Kwa maana siku ile ni kuu,+ hivi kwamba hakuna nyingine kama hiyo,+ na ni wakati wa taabu kwa Yakobo.+ Lakini yeye ataokolewa kutoka katika hiyo.”
15 “Ole wake siku ile;+ kwa sababu siku ya Yehova iko karibu,+ nayo itakuja kama mporaji kutoka kwa Mweza-Yote!
12 “Kwa hiyo hayo ndiyo nitakayokutendea, Ee Israeli. Kwa sababu nitakutendea mambo hayo, jitayarishe kukutana na Mungu wako,+ Ee Israeli.