Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Pigeni mayowe,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu!+ Itakuja kama uporaji kutoka kwa Mweza-Yote.+

  • Yoeli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Pigeni baragumu katika Sayuni,+ pigeni kelele za vita+ katika mlima wangu mtakatifu.+ Wakaaji wote wa nchi na wafadhaike;+ kwa maana siku ya Yehova inakuja,+ kwa maana iko karibu!

  • Sefania 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.

  • Sefania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Ile siku kuu+ ya Yehova iko karibu.+ Iko karibu, nayo inaharakisha sana.+ Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+ Hapo mwanamume mwenye nguvu anatoa kilio.+

  • Sefania 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kabla sheria haijazaa kitu chochote,+ kabla siku hiyo haijapita kama makapi, kabla haijawajilia hasira inayowaka ya Yehova,+ kabla haijawajilia siku ya hasira ya Yehova,+

  • 2 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+

  • Ufunuo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu siku kuu+ ya ghadhabu+ yao imekuja, na ni nani anayeweza kusimama?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki