2“Pigeni baragumu katika Sayuni,+ pigeni kelele za vita+ katika mlima wangu mtakatifu.+ Wakaaji wote wa nchi na wafadhaike;+ kwa maana siku ya Yehova inakuja,+ kwa maana iko karibu!
7 Kaa kimya mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova;+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu,+ kwa maana Yehova ametayarisha dhabihu;+ amewatakasa+ watu wake walioalikwa.
14 “Ile siku kuu+ ya Yehova iko karibu.+ Iko karibu, nayo inaharakisha sana.+ Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+ Hapo mwanamume mwenye nguvu anatoa kilio.+
2 Kabla sheria haijazaa kitu chochote,+ kabla siku hiyo haijapita kama makapi, kabla haijawajilia hasira inayowaka ya Yehova,+ kabla haijawajilia siku ya hasira ya Yehova,+
10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+