9 “Tazama! Siku ya Yehova inakuja, ikiwa na ukali pamoja na ghadhabu na pamoja na hasira inayowaka, ili kuifanya nchi iwe kitu cha kushangaza,+ na ili kuwaangamiza watenda-dhambi wa nchi kutoka ndani yake.+
18 Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+ bali dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+ kwa sababu atafanya maangamizi, yenye kutisha kwelikweli, ya wakaaji wote wa dunia.”+