Isaya 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndiyo sababu nitaifadhaisha mbingu,+ na dunia itatikisika itoke mahali pake kutokana na ghadhabu ya Yehova wa majeshi+ na katika siku ya hasira yake inayowaka.+ Mathayo 24:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+
13 Ndiyo sababu nitaifadhaisha mbingu,+ na dunia itatikisika itoke mahali pake kutokana na ghadhabu ya Yehova wa majeshi+ na katika siku ya hasira yake inayowaka.+