Mathayo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mbingu na dunia zingepitilia mbali+ upesi zaidi kuliko herufi moja ndogo zaidi au nukta moja ya herufi kupitilia mbali kutoka katika Sheria na mambo yote yasitukie.+ Luka 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+
18 kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mbingu na dunia zingepitilia mbali+ upesi zaidi kuliko herufi moja ndogo zaidi au nukta moja ya herufi kupitilia mbali kutoka katika Sheria na mambo yote yasitukie.+