Mathayo 24:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+ Marko 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mbingu+ na dunia zitapitilia mbali, lakini maneno+ yangu hayatapitilia mbali.+ Ufunuo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+
14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+