Mathayo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mbingu na dunia zingepitilia mbali+ upesi zaidi kuliko herufi moja ndogo zaidi au nukta moja ya herufi kupitilia mbali kutoka katika Sheria na mambo yote yasitukie.+ Mathayo 24:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+ Luka 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kweli, ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupitilia mbali+ kuliko nukta+ moja ya herufi ya Sheria kupita bila kutimizwa.+
18 kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mbingu na dunia zingepitilia mbali+ upesi zaidi kuliko herufi moja ndogo zaidi au nukta moja ya herufi kupitilia mbali kutoka katika Sheria na mambo yote yasitukie.+
17 Kwa kweli, ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupitilia mbali+ kuliko nukta+ moja ya herufi ya Sheria kupita bila kutimizwa.+