Mathayo 24:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+ Luka 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa kweli, ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupitilia mbali+ kuliko nukta+ moja ya herufi ya Sheria kupita bila kutimizwa.+ Luka 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+
17 Kwa kweli, ni rahisi zaidi mbingu na dunia kupitilia mbali+ kuliko nukta+ moja ya herufi ya Sheria kupita bila kutimizwa.+