Isaya 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka;+ lakini kwa habari ya neno la Mungu wetu, litadumu mpaka wakati usio na kipimo.”+ Isaya 55:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
8 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka;+ lakini kwa habari ya neno la Mungu wetu, litadumu mpaka wakati usio na kipimo.”+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+