Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 135:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+

      Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+

  • Yeremia 39:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nenda, umwambie Ebed-meleki+ Mwethiopia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Tazama, ninayatimiza maneno yangu juu ya jiji hili kuwe msiba wala si mema,+ nayo hakika yatatimia mbele yako katika siku ile.”’+

  • Waebrania 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,

  • Yakobo 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa sababu yeye alipenda+ hilo, alituzaa sisi kwa njia ya neno la kweli,+ ili sisi tuwe sehemu fulani ya matunda ya kwanza+ ya viumbe vyake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki