Yeremia 39:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nenda umwambie Ebed-meleki+ Mwethiopia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ninayatimiza maneno yangu kuhusu jiji hili ili kuleta msiba wala si mema, na siku hiyo utayaona yakitimia.”’
16 “Nenda umwambie Ebed-meleki+ Mwethiopia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ninayatimiza maneno yangu kuhusu jiji hili ili kuleta msiba wala si mema, na siku hiyo utayaona yakitimia.”’