Zaburi 115:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+ Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+ Waebrania 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bila shaka, kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini yeye aliyevijenga vitu vyote ni Mungu.+
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+