Zaburi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule anayeketi mbinguni+ atacheka;Yehova mwenyewe atawadharau.+ Zaburi 33:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kutoka katika mahali palipofanywa imara ambako yeye hukaa+Amewakazia macho wale wote wanaokaa duniani. Zaburi 123:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Nimekuinulia wewemacho yangu,+Ewe unayekaa mbinguni.+ Isaya 63:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+ Mathayo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Basi, ninyi msali hivi:+ “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+
14 Kutoka katika mahali palipofanywa imara ambako yeye hukaa+Amewakazia macho wale wote wanaokaa duniani.
15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+