Zaburi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yule anayeketi mbinguni+ atacheka;Yehova mwenyewe atawadharau.+ Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Zaburi 115:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+ Mathayo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Basi, ninyi msali hivi:+ “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.