Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yule anayeketi mbinguni+ atacheka;

      Yehova mwenyewe atawadharau.+

  • Zaburi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

      Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+

      Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.

  • Zaburi 115:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Lakini Mungu wetu yuko mbinguni;+

      Kila kitu ambacho alipendezwa kufanya, amekifanya.+

  • Mathayo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi, ninyi msali hivi:+

      “ ‘Baba yetu uliye mbinguni, jina+ lako na litakaswe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki